Jeremiah 49:1

Ujumbe Kuhusu Amoni

1 aKuhusu Waamoni:

Hili ndilo asemalo Bwana:

“Je, Israeli hana wana?
Je, hana warithi?
Kwa nini basi Moleki amechukua milki ya Gadi?
Kwa nini watu wake wanaishi katika miji yake?
Copyright information for SwhNEN